FAHARI Tanzania
Hii ni Blog itakayojihusisha na maswala anuai ya vivutio vya kitalii vilivyopo hapa nchini Tanzania. Ni Blog itakayokuelezea wapi pana nini na wewe mgeni utaweza kujipatia hicho ukitakacho katika hazina ya nchi yetu.
Saturday, November 17, 2012
ZIPI GHARAMA ZA NGORONGORO?
NAAM WADAU WA UTALII WA NDANI TAFADHALI NIJULISHENI GHARAMA ZA USAFIRI WA BUS KUTOKA ARUSHA MPAKA NGORONGORO CRATER!
Monday, August 20, 2012
SAFARI YA ISIMILA
Kutakuwa na ziara ya
kutembelea Hifadhi ya Taifa ya mambo ya kale Isimila, mwanzoni wa mwa mwezi September. Lengo la ziara hiyo ni kudumisha utalii wa ndani. Ada ya ushiriki ni Tsh
10,000/= tu kwa usafiri na kiingilio. Kwa mawasiliano zaidi tumia email kwetuzaidi@gmail.com
...Sehemu ya utajiri wa Isimila
...Sehemu ya utajiri wa Isimila
Saturday, August 18, 2012
Fuu la Mkwawa...!
Fuvu hili la Mkwawa, shujaa wa kabila la wahehe aliyejiua kukwepa hila za Wajerumani linapatikana huko katika ardhi yake. Kalenga, Iringa, Tanzania
Upwa wa Zenj
Ni sehemu tulivu kwako na familia yako kwa ajili ya kutafakari maisha yetu yaliyojaa siasa mpaka vyumbani
Subscribe to:
Comments (Atom)





