Hii ni Blog itakayojihusisha na maswala anuai ya vivutio vya kitalii vilivyopo hapa nchini Tanzania. Ni Blog itakayokuelezea wapi pana nini na wewe mgeni utaweza kujipatia hicho ukitakacho katika hazina ya nchi yetu.
Saturday, August 18, 2012
Fuu la Mkwawa...!
Fuvu hili la Mkwawa, shujaa wa kabila la wahehe aliyejiua kukwepa hila za Wajerumani linapatikana huko katika ardhi yake. Kalenga, Iringa, Tanzania
No comments:
Post a Comment