Kutakuwa na ziara ya
kutembelea Hifadhi ya Taifa ya mambo ya kale Isimila, mwanzoni wa mwa mwezi September. Lengo la ziara hiyo ni kudumisha utalii wa ndani. Ada ya ushiriki ni Tsh
10,000/= tu kwa usafiri na kiingilio. Kwa mawasiliano zaidi tumia email kwetuzaidi@gmail.com
...Sehemu ya utajiri wa Isimila
...Sehemu ya utajiri wa Isimila

No comments:
Post a Comment