Monday, August 20, 2012

SAFARI YA ISIMILA



Kutakuwa na ziara ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya mambo ya kale Isimila, mwanzoni wa mwa mwezi September. Lengo la ziara hiyo ni kudumisha utalii wa ndani. Ada ya ushiriki ni Tsh 10,000/= tu kwa usafiri na kiingilio. Kwa mawasiliano zaidi tumia email kwetuzaidi@gmail.com

  ...Sehemu ya utajiri wa Isimila

No comments:

Post a Comment