Hii ni Blog itakayojihusisha na maswala anuai ya vivutio vya kitalii vilivyopo hapa nchini Tanzania. Ni Blog itakayokuelezea wapi pana nini na wewe mgeni utaweza kujipatia hicho ukitakacho katika hazina ya nchi yetu.
Monday, June 11, 2012
KUMBUKUMBU CHUNGU!
HAPA ndipo mkulima Mwamwindi
alipomuua aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa enzi hizo aliyeitwa Kleruu.
Ni historia chungu lakini tamu. Inapatikana eneo la Mkungugu njiapanda
ya kwenda Ikengeza, Iringa Tanzania
No comments:
Post a Comment