Monday, June 11, 2012

KUMBUKUMBU CHUNGU!

HAPA ndipo mkulima Mwamwindi alipomuua aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa enzi hizo aliyeitwa Kleruu. Ni historia chungu lakini tamu. Inapatikana eneo la Mkungugu njiapanda ya kwenda Ikengeza, Iringa Tanzania

No comments:

Post a Comment